Salaam kwenu Njaa hutafuna chango ila athari yake hudumaza fikra na ukomavu wa akili usipokuwa makini unaweza ukauza utu wako sababu ya 'sent 5' . Mamlaka za utendaji zimekaliwa na 'walala hoi' fikra zao ni umimi na familia yake na hatujui kabisa dunia ni duara tunapofanya maamuzi...
Wiki hii kwangu imenipa kufikiri sana. Mitandao ya kijamii na habari iliyozagaa sana huko, ilikuwa kuhusu usafiri wa mabasi ambao viongozi, wakuu wa nchi waliotumia kwenye mazishi ya malkia wa uingereza.
Ukiacha masuala ya kiufundi kama ya kiprotokali na ulinzi (ambayo nina hakika hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.