unawahi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Katarama mnawahi wapi?

    KATARAMA KATARAMA KATARAMA!!! Nilichoshudia Jana saa 11 jioni katika hii BUS JIPYA lililokua linaelekea Mwanza kama walifika salama wamshukuru Mungu na wasali sana maana alikuwa ana overtake magari zaidi 3 sehemu yenye mlima alikuwa anaua abiria wake na kusababishia ajali BUS LA ADVENTURE...
  2. Usizuge kuwa unawahi safari kwahiyo huwezi Kuongea, ukweli ni kwamba Unajishtukia kwa maajabu ya kwa Afya na Wawili uliowatoa kwa Kushauriwa vibaya

    Haya na Mimi GENTAMYCINE sitasema sana kwa sasa kwani nami nataka kuwahi Basi la kutoka hapa Nachingwea kwenda Bonyokwa kuwahi Kikao muhimu cha Vibaka kuwa wengi mtaani Kwetu. Imeisha hiyo......!!
  3. S

    Nashangaa sana kuona dada wa miaka 25 anaolewa. Unawahi wapi? Ndiyo maana ndoa zinawashinda!

    Kwa maisha ya Sasa 25 bado ni umri mdogo Sana kuanza kufikiria ndoa. Unahitaji muda wa kula ujana peke yako kwanza ndipo uingie kwenye ndoa. Ikiwezekana jipange kwanza kimaisha mpk ukifika 35 ndipo uingie kwenye ndoa. Mm nina 26 lkn wanaojitokeza nawaasmbia "bado sijamaliza mambo yangu".
  4. Kwanini mwanga wa radi unawahi kuliko sauti

    Nadhani wengi wetu tumekuwa tukiwa na maswali ni kwanini wakati radi linapiga sauti huwa inawahi sana kuliko mwanga kufika huki ardhini au katika uso wa dunia Sababu kubwa inayosababisha hivyo ni kwa kuwa mwanga husafiri kwa kasi sana kuliko kasi ya sauti japo kuwa mchakato wa kitendo hicho cha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…