Nothing Is Underrated is the second solo album by Fugazi bassist Joe Lally. As the follow-up to Lally's debut, There to Here, it stylistically similar in its woody, bass-oriented grooves. Much like its predecessor, Nothing Is Underrated features various members of Washington D.C. groups such as Faraquet, the Capitol City Dusters, Medications, The Out Circuit, the Delta 72, Capillary Action, Rites of Spring, and Lally's band mates in Fugazi.
Tuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake.
Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo.
Ukiwachukulia poa utasema ni garbage nyingine kutoka kwa Mchina, ila aisee hawa jamaa wana flagship kali sana.
Mfano: Vivo X100 Ultra, na Oppo...
Watu wengi huwa wanawalaumu Wayahudi na kuwazushia conspiracies nyingi sana kwamba wamesababisha matatizo makubwa kwa dunia, mimi nafikiri hii ni tabia ya ukasuku wa watu kukariri tu mambo yanayosemwa bila kuyatafakari.
Kama kuna taifa ambalo limechangia madhila makubwa duniani ni Ujerumani...
Baada ya kimya na ahadi za muda mrefu za CEO wa Tesla, Elon Musk, finally ile siku imewadia.
Ni tarehe 10 October, ambapo billionaire uyo atafanya uzinduzi wa huduma na bidhaa mbalimbali kutoka kwenye kampuni yake ya Tesla.
Event ina tittle “We Robot” ambayo tunaamini kaitoa kwenye series ya...
Ruby ni moja language ipo underrated sana na developer wengi
Side project nyingi hasa web development na API mimi huwa natumia ruby, pia nichanguo langu la kwanza
Ni mara chache sana unakutana na developer mwingine anatumia ruby,
Mtu akikukuta unafanya development na ruby anakushauri utumie...
Dr King (M.L.King Jr) alishawahi nukuliwa akisema “ Not everyone can be FAMOUS , but everyone can be GREAT. Japo hotuba yake ilikuwa yenye mlengo wa kisiasa, lakini kupitia nukuu hii alikuwa anajaribu kutonesha kuwa kuna utofauti kati ya Umaarufu(Fame) na ubora(Greatness).
Kwa lugha nyepesi...
Ushawahi kuangalia series au movie halafu ukajiuliza kwann sio popular miongoni mwa zile popular tv shows? In my opinion hizi ni miongon mwa most under rated tv shows & movie , let me know your thought.
1. THE STRAIN
mapambano dhidi ya kirusi hatari kinachosababisha hali ya uzombie mtiririko wa...
Wakuu umofia kwenu,
Pengine ukimya wa watu wa Moshi na roho yao ya Maisha popote ndio inafanya wasidai moshi yao kama ilivyo.
Angalia mawasiliano ya huyu mzungu anavyoisifia Moshi.
Kwamba anashangaa kwanini inasifiwa Arusha pekee na sio Moshi?
Serikal yenyewe inapeleka mirad yote ya...
Kwa wale wanaopenda uniqueness nadhani watakubaliana na mimi kwamba Treach should have a mention in one of the Best out-there to ever walk the earth, his flow is an art in itself.
Habari Zenu,
Katika utundu wa kutafuta series ya kuangalia kuna jamaa yangu mmoja akanirushia series moja ya Taiwan inaitwa DANGER ZONE CHAPTER 1: THE DARKNESS KNIGHT binafsi sio mpenzi wa movie au series zinazotoka Taiwan au za wafilipino lakini siku moja nikuwa Sina kitu Cha kufanya nikaona...
Kwa upande wangu,
Underrated
Makande: Nimekuwa nikiona watu wakiyadharau sana makande eti kwamba ni chakula cha ajabu ila kwa mimi naona makande hayapewi heshima inayostahili. Jamii zote za makande kama; makande njugu, makande maharage zina mabalaa yake. Halafu itokee siku hiyo likachanganuwa...
Sikiza hii ngoma ni ya kitambo sana. Ila style kali ni kama imerekodiwa leo asubuhi. Jose ananata na kuichakaza biti vibaya sana.
Huwa namsikiliza huyu mwamba najiuliza alikosea wapi kutusua. Was he underrated?
Kwa wachambuzi wa mpira wa league ya Bongo hakuna wa kufikiria uyu jamaa yupo vizuri sana hasa kwa kujenga hoja na kiufundi achana na hao wengine wenye blah blah nyingi kama wa kina ambangile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.