unga wa mahindi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Biashara ya sembe Dar es Salaam ipoje?

    Mim ni kijana mwenye umri wa miaka21, Nina mashine mbili moja ya kusaga na ya kukoboa mashine kubwa za kuzalisha unga wa kupeck. Nina million kumi cash ya mtaji na mashine zipo complete kwa kuanza Kaz gharama frame, kufunga kuanza kazi Sas nilikuwa natak hiki kiwanda nikiwekee dar Ila sas...
  2. Kenya kuanza kuzalisha unga lishe wa ugali (blended flour) ili wasiagize mahindi. Waziri Bashe umejipangaje kwa kupoteza soko?

    Kenya inasema kuanzia mwezi Septemba mwaka huu wa 2023 itapitisha sheria kwamba Wazalishaji wa Unga wa mahindi Kwa Ajili ya ugali Waanze Kuzalisha Unga Lishe Kwa Kuchanganya mahindi na mtama, mihogo, miavi nk. Lengo la sheria hiyo ni 1. Kuziba gap la upungufu wa magunia mil.12 ambayo Wanaagiza...
  3. Ruto: Unga wa Mahindi utashuka bei wiki ijayo

    Rais William Ruto ametangaza kuwa bei ya unga wa mahindi itashuka zaidi kuanzia wiki ijayo. Akizungumza katika Kaunti ya Meru leo Jumamosi, Rais Ruto alisema utawala wake umejitolea kusambaza unga wa bei nafuu kwa Wakenya, pamoja na kutokomeza umaskini na njaa. Alisema licha ya kufika ofisini...
  4. Bei za vyakula zapaa maradufu. Mchele wafika Tsh 3000/=, unga wa mahindi Tsh 2000/=

    Wakati bei za vyakula zikizidi kupanda katika maeneo mbalimbali nchini, wakulima wametaja sababu tatu za hali hiyo, wakiitaka Serikali kuingilia kati. Miongoni mwa sababu hizo, eneo ambalo wanataka Serikali iingilie kati ni kufurika kwa wanunuzi wa nafaka kutoka nje ya nchi. Sababu nyingine ni...
  5. Bei ya Unga kushuka kutoka Ksh. 230 hadi Ksh. 100 baada ya ruzuku ya Serikali

    Bei ya Unga wa mahindi nchini Kenya itashuka kutoka Ksh. 230-100 kuanzia leo Julai 18 Hii ni baada ya Serikali ya Kenya kutoa ruzuku kwa bei ya uzalishaji wa bidhaa hiyo kwa muda wa wiki 4. Katika muda wa wiki 4, Wizara ya Kilimo italipa sehemu ya gharama ya kuzalisha Unga, ili kuwaepusha...
  6. Unga wa mahindi Kenya kilo moja ni 4100 shilingi za Kitanzania

    Bei ya mahindi nchini Tanzania inaogofya sana hadi kufikia 100000-130000 kwa gunia la kilo 100 kwa baadhi ya mikoa ya nchi hii. Kupanda kwa bei ya mahindi imepelekea wananchi wa kawaida kununua unga wa kupikia ugali kati ya 1400-2000 kwa kilo moja, hali ya upatikanaji wa chakula hicho inazidi...
  7. Biashara ya Unga wa Mahindi

    Do you want to start a Maize Milling Business? Then get this 85-page guide which contains: 1. Overview 2. The Opportunity 3. The Upcountry Choice – Case Study Disadvantages Advantages 4. Case Study Disadvantages The Advantages 5. Target Market Keys to Success. 6. The Product Product...
  8. F

    Biashara ya Kuchakata na Kufungasha Unga wa Mahindi (Sembe na Dona)

    Hellow wanaJF, Nina wazo la kuanzisha biashara ya kusaga unga wa sembe na ku-pack kwa ajili ya kuuza. Jamani naombeni mawazo yenu. WADAU WENGINE WANAOHITAJI KUJIFUNZA KUHUSU BIASHARA HII MICHANGO YA WADAU KUHUSU BIASHARA HII
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…