unga wa ngano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. popcorngirl

    Ununuzi wa unga wa ngano barabarani

    Habari wana JF, Naomba kuuliza jamani. Ni utaratibu gani nitumie ili niweze kununua ngano kiwandani? Alie na ujuzi na hii issue naomba anielekeze
  2. M

    Azam angalieni ubora wa unga wenu wa ngano, kiwango cha ubora kimepungua

    Mimi nj mdau wa muda mrefu wa unga wa ngano wa Azam. Lakini kwa sasa unga wenu umepungua sana ubora. Hauna ubora wa mwanzo umekua hauna quality umekua kama umechanganywa Na unga wa mahindi. Ukiukanda unakua kama mpira halafu hata ukitengenezea Maandazi hayawi soft kama zamani Na unanyonya...
  3. Habari Leo

    Kero ya wauza maziwa Arusha kuweka maji na unga wa ngano

    Kama kichwa kinavyo jieleza. Hili ni janga la muda mrefu na hali hii inazidi kukomaa hali inayopelekea maziwa kutokuaminika kabisa. Wauzaji kuanzia wafugaji wanao kamua maziwa hadi wenye maduka wanaouza rejareja, wengi wao wanaweka maji ili maziwa yawe mengi na kisha kuweka unga wa ngano ili...
  4. K

    Ushauri: Serikali ifanye haya ili nchi ijitosheleze unga wa ngano

    Leo kulikuwa na Press conference baina ya Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara na Waziri wa Fedha na Waandishi wa Habari. Maelezo kuhusu upungufu wa ngano ulielezwa vyema na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara na kusema kuwa mahitaji yetu ya ngano ni tani 800,000 kwa mwaka na sisi...
  5. Dr Akili

    Juice na unga wa ngano kutoka viwanda vya Kenya vitaingia Tanzania bila vikwazo na sementi kutoka viwanda vya Tanzania vitaingia Kenya bila vikwazo

    Viwanda vyetu hususani kama vya Azam vijiandae kwa maumivu kwani itakuwa ngumu kushindana na maviwanda ya Kenya. Pia na sisi tunaotaka kujenga tujumba twetu tujiandae maumivu kwani cementi ya kutoka viwanda vyetu ambayo ina ubora wa hali ya juu hususani ile ya Dangote, kiasi kikubwa kitakuwa...
  6. TEAM 666

    Niulize chochote kuhusiana na biashara ya duka la jumla

    Moja kwa moja twende kwenye mada Kama unamalemgo yakufua biashara ya duka hii jumla achana na haya maduka ya mtaania ya Mangi nazungumzia biashara ya jumla mfano pipi, Tambi, Unga, Mafuta,sabuni,nk... Karibu nipo tayari kushare my experience yangu kwenye hii biashara nayafahamu mengi zaidi na...
Back
Top Bottom