unga wa sembe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    Nahitaji mashine ya kusaga na kukoboa unga wa sembe

    Nahitaji mashine ya kusaga na KUKOBOA UNGA WA SEMBE , mashine iwe na uwezo wa kusaga na KUKOBOA Tani 30 Kwa Siku.
  2. E

    Ushauri: Nataka kuanzisha kiwanda cha unga wa sembe Dar

    Habari Mimi ni kijana mjasiliamali nataka kuanzisha kiwanda cha kuzalisha Unga (sembe +dona) Dar. Nilikuwa naomba wazoefu kwenye hii biashara wanipe muongozo kwenye haya. 1. Mashine zipi ni bora ( kusaga, kukoboa na sealing) na ufanis wake ukoje 2. Mahindi ya mkoa gani ni mazuri? Na huwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…