unyago

  1. Dr leader

    Unyago iwe lazima

    Siku hizi maadili yamepotea, heshima imepotea, pesa imetawala... Mchana unamuona binti mwenye adabu, hata wazazi (jamii)humuona hivyo... Mama na familia yake anaonekana ni mpambanaji haswa, mumewe hujisia kuwa na mke wa shoka (Super woman) Ni single mother anasifiwa vyema kwa kuhudimia...
  2. Jaji Mfawidhi

    Kisarawe: DC Magoti apiga marufuku shughuli za ngoma kuhusisha wanafunzi

    Wazaramo na wandengereko sasa wamefikiwa, mambo ya kula vitoto vya miaka 12 sasa basi ! Ila bwana DC Magoti kuna swali huku, ni utamaduni wa Wazaramo na wandengereko msichana akifika miaka 12[kuvunja ungo] anachezwa ngoma na anafundishwa na kungwi namna ya kufanya mapenzi, je na hili nalo la...
Back
Top Bottom