unyanyasaji wa watoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. O

    Mzee wa miaka 50 ajinyonga baada ya kufumaniwa akimbaka mjukuu

    Wakuu, Nini kifanyike mbona haya mambo yanazidi sana? Ni kwamba wanaume tumezidiwa sana na ugwadu au ni madomo zege sana hatuwezi kutongoza siku hizi? Au shida ni nini? Au ushirikina! ---- Olomi inadaiwa kabla ya kujiua, mke wake alimfumania akimbaka mjukuu wake, hivyo alipiga yowe kuomba...
  2. N

    Uporaji viwanja vya michezo vya Shule, ni unyanyasaji wa watoto

    Tanzania, kama taifa, kuamini kwamba tunawapenda watoto wetu, tunazidanganya nafasi zetu, ukweli hatuwapendi. Kuna matukio mengi yenye kuthibitisha kuwa hatuwapendi watoto wetu, ama viongozi wa taifa hili hawawapendi watoto wa wanaowaongoza maana wao wa kuwazaa hawapitii mapito ya wale wanao...
  3. Nyanda Banka

    Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

    Kama mjuavyo sisi wanaume mara nyingi ni kuamka asubuhi na mapema na kuondoka, na kurudi ni usiku, muda ambao Mimi nashinda nyumbani ni Jumamosi na Jumapili. Usiku wa kuamkia Jana alhamis mtoto wa marehemu dada yangu alianza kulia sana chumbani, akalia sana mpaka ikabidi niamke niende chumbani...
  4. H

    SoC04 Kuwatunza na kulinda watoto dhidi ya unyanyasaji

    Unyanyasaji kwa watoto ni tatizo ambalo la weza sababishwa na mtu mzima au mtoto kwa mtoto linalomfanya mtoto athirike. Laweza kumuathiri mtoto kimwili, kihisia, kingono. Pale tunaposhindwa kuwatimizia watoto mahitaji ya msingi hupelekea unyanyasaji kwa watoto ambalo ni tatizo linaloongezeka...
  5. R

    Mtoto wako alikuwa hana mazoea ya kwenda kwa jirani fulani lakini ghafla habanduki huko, shtuka!

    Wakuu, Una jirani, rafiki yako au hata ndugu mnaoishi karibu na mtoto wako alikuwa hana mazoea ya kwenda huko lakini ghafla amekuwa habanduki kwa jirani huyo mzazi shtuka. Na kinyume chake vile vile, mtoto wako alikuwa anapenda kwenda sehemu fulani kucheza lakini ghafla haendi huko na unajua...
Back
Top Bottom