unyanyasaji wanawake

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Watchman

    RC Manyara: Wanawake msikubali vipigo kwa kisingizio cha uvumilivu, akikupiga ujue huyo si ubavu wako

    Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amewataka wanawake kutokubali vipigo na manyanyaso katika ndoa kwa kisingizio cha uvumilivu. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Mwanamke Duniani yaliyofanyika kimkoa katika Kijiji cha Hydom, Wilaya ya Mbulu, Sendiga amesisitiza kuwa si kila jambo...
Back
Top Bottom