uokozi kwenye majanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Suley2019

    Mdude: Tanzania haina kifaa cha uokozi kwenye majanga ya Vifusi na maji (rescue radar)

    Hiki kifaa kinatumika wakati wa majanga ya watu waliofukiwa kwenye kifusi au maji ku-scan na kujua walipo. Hiki kifaa TZ haina na kinauzwa milion 10 tu. Ila Samia katoa milion 700 za pongezi kwa Taifa stars, halafu waokoaji Kariakoo wanakisia kutafuta wahanga walipo ili wawaokoe.
  2. Inside10

    Bondia Mwakinyo ashiriki zoezi la uokoaji Kariakoo

    Wakati zoezi la uokoaji likiwa linaendelea eneo la Kariakoo jengo lilipoanguka, Bondia wa Kimataifa wa Tanzania Hassan Mwakinyo ameshiriki katika zoezi hilo. My take: serikali isimamie hili jambo kwa weledi tupunguze chip popularities, professionals waachwe wafanya uokozi. Sio hawa wasanii...
  3. Snowden E

    Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024

    Ijumaa Novemba 22, 2024: Waziri Mkuu aunda Tume maalumu ya watu 21 - Kwa mujibu wa maelekezo ya Rais Dkt. Samia, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua Tume maalum ya wajumbe 21 ambao wamebobea kwenye masuala ya ujenzi kuchunguza chanzo cha tukio la ajali ya jengo lililoanguka Kariakoo, pamoja na...
  4. milele amina

    Miaka zaidi ya 60 ya uhuru, serikali haikumbuki kununua vifaa vya kuwaokoa abiria wakati wa ajali za mabasi ni aibu kubwa

    Mkoa wa Mbeya, kama mikoa mingine nchini, unakabiliwa na changamoto kubwa katika masuala ya uokoaji wa abiria wakati wa ajali. Hali hii inadhihirisha upungufu wa vifaa vya uokoaji, ambavyo ni muhimu sana ili kuokoa maisha ya watu wanaopatwa na majanga kwenye barabara. Picha unayoizungumzia...
  5. Suley2019

    Wataalamu na Waokozi wapewe kipaumbele zaidi kwenye majanga kuliko Mawaziri

    Salaam Kumekuwa na tabia za Viongozi wa kiasa nchini kwetu kujiweka mbele sana kwenye majanga kama mafuriko na mengine. Kwanza, ni matumizi mabaya ya pesa za umma viongozi wengi kujazana sehemu moja ya tukio jambo ambalo kiongozi mmoja anayehuaika anaweza kutangulia kusimamia eneo lake. Pili...
Back
Top Bottom