Yah salaam wakuu.
Huu muendelezo wa kauli za Lema kwa watu wenye kichwa cha bata wataona jamaa kama anatudharau lakini lahasha jamaa anatupigia alarm tuamke.
Lema anajaribu kutuambia tangu tupate uhuru hakuna kitu cha maana kinafanywa na CCM zaidi ni kutudanganya tu wananchi.
Lema anajaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.