uongozi chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Uongozi CHADEMA: Heche anaweza kutibu Majeraha, Lissu hawezi

    Lisingekuwa Vuguvugu la kumng'oa Mbowe hizi Dakika za Mwisho kwangu mimi ungeniuliza nani anastahili kuwa Mwenyekiti baada ya Mbowe ningesema ni Heche. Leo nimewasikiliza wote(Lissu&Heche) Hotuba zao walipoingia Ofisini kwa mara ya kwanza,kimsingi ukiwasikiliza vizuri Hotuba ya Heche ndiyo...
  2. Heparin

    Pre GE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

    Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.
  3. D

    Pre GE2025 Tundu Lissu mgonjwa hafai kugombea Urais 2025

    Viongozi wa Chadema na Wanaharakati waliochukizwa na kina Mbowe, Lissu, Mnyika, Sugu na wanachama wao wamelalamika kwamba Lissu ni mgonjwa. Anatumia dawa muda wote lakini Polisi walimkatalia kutumia dawa zake. Huu ni ushahidi usio na shaka kwamba mwamba ni mgonjwa. Kama muda wote ni kama gari...
  4. K

    Muda wa CHADEMA kutengeneza safu mpya

    Ukikaa Madarakani muda mrefu watu wanakuchoka pia unakosa ubunifu mfano Museveni, The late Mugabe.
  5. Synonyms MP

    Tetesi: Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi

    Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho. Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa. Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa...
Back
Top Bottom