uongozi na siasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    Medani za Siasa: Nyasa tunaenda na nani?

    Nafuatilia kipindi cha Medani za Siasa kinachorushwa na Star Tv, kuna mdahalo mkali katika ya Sugu vs Msigwa. Nimejifunza yafuatayo: 1. Upatikanaji wa Viongozi Moja ya vyama vyenye hazina ya viongozi bora ni vyama vya upinzani. 2. Uwezo wa kujieleza na kujibu hoja Viongozi kutoka vyama vya...
  2. musabuze

    Je, PhD hewa zipewe kipaumbele kwenye nafasi za uongozi na siasa?

    Miaka ya hivi karibuni Tanzania imekuwa na ongezeko la watumishi wengi wa umma ambao wanaongeza elimu ili kujiweka katika nafasi nzuri za kuwa viongozi katika ngazi mbalimbali za serikali. Asilimia kubwa wakiwa ni watumishi wanaowania Masters na asilimia iliyobaki ni PhD. Hii imepelekea mfumo...
  3. Meneja Wa Makampuni

    Hekima ya siasa zidi ya Hekima ya uongozi na jinsi ya kupata Hekima ya uongozi na siasa

    1. Hekima ya siasa ni muhimu sana katika uongozi wa taifa au jamii yoyote ile. Hekima hii inahusisha uwezo wa kufikiri kwa makini na kutumia busara katika kutatua matatizo yanayohusiana na utawala wa nchi. Hekima ya siasa inahusisha pia uwezo wa kuwa na maono na mikakati madhubuti ya kukuza...
  4. Sir robby

    Tatizo la Tanzania ni Uongozi na Siasa

    Hatimaye yametimia Rais Samia amekiri kuwa kuna tatizo kubwa la viongozi. Wananchi tuliowengi tulilisemea hili lakini watawala wakatupuuza. Hayati Baba wa Taifa aliwahi kusema ili nchi yeyote iendelee lazima iwe na; 1. Watu 2. Ardhi 3. Siasa safi 4. Uongozi Bora Tanzania ina watu mil. 60...
Back
Top Bottom