Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Khamis Hamza Khamis ametoa wito kwa jamii kuendelea na jitihada za utunzaji wa mazingira kwa kupanda miti ili kuhakikisha idadi ya miti inaongezeka na kutengeneza misitu itakayosaidia kutunza afya ya udongo na kuwa chanzo cha...
Miti hupunguza ongezeko la joto kwenye mzaingila yetu kwahiyo
tujitahidi angalau kila nyumba iwe na miti kulingana na ukubwa wa eneo lake
Miti hunyonya hewa chafu kwenye mazingila yetu na hutupa hewa Safi kwenye mazingila yetu
hivyo mti mmoja nyumbani kwako unathamani kubwa sana juu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.