Muda mchache uliopita taarifa kubwa kwenye vyombo vya habari vyote vya Kimataifa Aljazeera, CNN na nk ni juu ya Makubaliano ya Kusitisha Mapigano kati ya Israel na Hamas.
Kufikiwa kwa makubaliano haya kumefanya wakaazi wa Gaza kushangilia na kuandamana barabarani kwa furaha na vifijo.
Israel...
Ripoti mpya ya shirika la Israel, IMPACT-se, imefichua kuwa zaidi ya asilimia 10 ya wakuu wa shule na maafisa wa elimu waandamizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) katika Ukanda wa Gaza ni wanachama wa Hamas au Jihad ya Kiislamu ya Palestina.
Uchunguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.