upanga

Upanga East is an administrative ward in the Ilala District of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 7,385.

View More On Wikipedia.org
  1. Kitomai

    INAUZWA HARAKA UPANGA!

    *🏢 Apartment moja ya vyumba 3 kwa TZS 350,000,000 * 🔑 Vipengele Vikuu: IPO KATIKA UBORA: ipo katika jengo lenye swimming pool, gym, lift, na genereta Mauzo ya Kibenki: inauzwa moja kwa moja na benki kwa uhakika wa usalama wa miamala. 📞 Mawasiliano ya Haraka: Piga simu kwa namba: 0784 225...
  2. Kitomai

    ZINAUZWA HARAKA UPANGA! 🏢 Apartments mbili za vyumba 3 kwa TZS 350,000,000 kila moja!**

    **ZINAUZWA HARA 🔑 Vipengele Vikuu: ZIPO KATIKA UBORA: Zipo katika majengo yenye swimming pool, gym, lift, na genereta Mauzo ya Kibenki: Zinauzwa moja kwa moja na benki kwa uhakika wa usalama wa miamala. 📞 Mawasiliano ya Haraka: Piga simu kwa namba: 0784 225 000 ⚠️ Angalizo: "Hizi sio za...
  3. chiembe

    Sasa Mrisho Gambo yuko katika mstari wa mbele katika foleni ya kula chakula cha sumu alichowapikia na kuwalisha wenzake-fitna, ukiua kwa upanga!

    Mrisho Gambo sasa anatakiwa kula chakula alichowalisha wenzake kwa muda mrefu sana, chakula chenye sumu ya fitna. Katika foleni, hakuna aliyebaki isipokuwa ni yeye, na mgawa chakula anamuangalia usoni kwa macho pima akiwa na upawa uliojaa chakula, gambo akiwa na sahani yake mbele ya mgawa...
  4. Kitomai

    Plot4Sale Nyumba na viwanja vinauzwa

    NYUMBA INAUZWA MKOA: Dar es Salaam, Tanzania WILAYA: Kinondoni MAHALI: Bunju Beach, Moga NYUMBA INAUZWA KAMA ILIVYO BEI: TZS Milioni 550 MAONGEZI YAPO UKUBWA WA KIWANJA: SQM 1600 UMILIKI: Ina hati safi NYUMBA KALI SANA INAUZWA SIFA ZA NYUMBA: Vyumba 4 vikubwa vya...
  5. Beira Boy

    Mtani wangu Oten wa Moro ulitupiga kamba kwenye Ngoma yako ya nicheki, upanga siyo mitaa ya kisure bal ni uswahilini

    Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika kristo Mimi kama msukuma napingana mambo kaza wa kaza juu ya Ngoma ya oten ya nicheki, cha kwanza Ngoma ni kali sana huo ndo ukweli, sema mtani wangu huyu alizidisha uongo uongo mwingi sana Jamaa anasifia mitaa ya upanga ni mitaa ya kisure , ukweli ni...
  6. R

    Apartment for sale in Upanga

    2bhk Apartment For Sale At Upanga, Kilombero Street. Features: 2 Bedrooms Public washroom Living room Dining room Kitchen Parking space Price: 70,000 USD. Negotiable. Property Type is Ownership With Title Deed. Viewing fee Apply. Note: The appearance of the building from the outside is...
  7. Kitomai

    House4Rent Apartment for Rent in Upanga (Fully Furnished)

    Price: $1,000 per month (including service charge) Description: Spacious 3-bedroom apartment 1 Master bedroom with en suite bathroom 2 Common rooms with shared bathroom Available on higher and lower floors Classic and clean, ready to move in immediately Fully furnished for your convenience...
  8. R

    Apartment for sale in Upanga

    2bhk Apartment For Sale At Upanga, Kilombero Street. Features: 2 Bedrooms Public washroom Living room Dining room Kitchen Parking space Price: 70,000 USD. Negotiable. Property Type is Ownership With Title Deed. Viewing fee Apply. Note: The appearance of the building from the outside is...
  9. A

    KERO Muhimbili (Upanga & Mloganzila) inakuwaje mnakosa chanjo ya Tetanus kwa zaidi ya mwaka sasa!?

    Nimeenda mara kadhaa kwenye haya matawi mawili ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (Upanga & Mloganzila), chanjo ya Tetanus haipo kwa zaidi ya mwaka sasa. Mara ya kwanza nilienda Upanga kama miezi 8 iliyopita baada ya mwanangu kung'atwa na mbwa, wakamchoma tu chanjo ya kichaa cha mbwa, chanjo ya...
  10. danhoport

    Tetesi: Kuna tukio la uporaji mali limepangwa kufanyika Upanga usiku huu, Polisi wekeni doria

    Nimetoa taarifa kama raia mwema, muda ni usiku kuanzia saa saba nyie wekeni doria, target ni raia mmoja wa kigeni
  11. T

    Natafuta chumba na sebule maeneo ya upanga. Ofa laki mbili kwa mwezi

    Habari wadau. Nimehatika kupata kazi hospital ya muhimbili hivyo nahitaji chumba na sebule maeneo ya upanga ofa yangu ni laki mbili kwa mwezi
  12. Kasri Homes Tz

    House4Sale Upanga: 9th and 10th Floors 2 Bdrm Apartments For Sale - Dar

    • Direction: Mindu • Facilities: (2 bedrooms, 2 washrooms) x 2 • Floor Area: 81 sqm • Document: Sub Title • Price: Each USD 75,000 (payment in TSH accepted) • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ zipo apartment 2. Moja ghorofa ya 9 na nyingine ya 10 ✓ zote zinajitosheleza. Kila moja chumba master 1 na...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    Teruso, yaani aliyeokoka kuuawa kwa upanga wa miungu

    TERUSO YAANI ALIYEOKOKA KUUAWA KWA UPANGA WA MIUNGU. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Kuhani Katika Hekalu Jeusi. Tena siku zile nikasema acha nifuate njia zangu mwenyewe. Nimechoka kuwa chini ya MUNGU. Nitatumia nguvu zangu mwenyewe. Akili zangu mwenyewe. Wala sitaki Tena kuongozwa na huyo...
  14. Bosspraise

    Plot4Sale Plot, House for sale

    PLOT FOR SALE MBWENI Plot safi kabisa hii hapa Inauzwa Iko Mbweni mpiji inagusa lami Ni sqm 1000 📌🗒Ina Hati safi kabisa 📌Ni pazuri sanaa Kuna nyumba pia kama unavyoiona kwenye picha hapo 📌Plot inataka milion 150 maongez kidogo NB; ZINGATIA PLOT INAGUSA BARABARA KUBWA YA LAMI, PATAFAA SANAA...
  15. LIKUD

    Nimeshangazwa na uwezo wa kufanya masaji wa msichana huyu wa kiarabu kutoka Kariakoo jijini Dar es Salaam

    Umri wake ni miaka 26 na jina lake linaanzia na herufi H. Wakati naenda kukutana nae kwa mara ya kwanza I thought my friend was joking with me. Kwa sifa alizo kuwa anampa kwa sababu alikuwa anampa sifa ambazo tumezoea kuzisikia kutoka kwa wasichana wa kimwera, wayao, WAMAKONDE, wadigo etc...
  16. Mohamed Said

    Kumbukumbu ya Mfungo wa Ramadhani: Futari Nyumbani kwa Mayor Kitwana Kondo Oyster Bay na Upanga

    KUMBUKUMBU ZA RAMADHANI: FUTARI NYUMBANI KWA MAYOR KITWANA SELEMANI KONDO OYSTER BAY NA UPANGA Katika makala fikra zangu zinarudi nyuma miaka mingi sana Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kama huu. Wakati huo Mzee Kitwana Kondo alikuwa Mayor wa Dar-es-Salaam na akiishi Oyster Bay. Mimi na wenzagu...
  17. GENTAMYCINE

    Mnaoishi katika Maghorofa marefu hasa ya Upanga tafadhali mkiwa mnaanza 'Kunaniliana' muwe mnafunga kwa muda Madirisha yenu ili msitupandishe Midadi

    Wengine tumeumbwa na Midadi hasa tukiona Minaniliano madirishani huwa tunatamani hata tuje kuomba Kolabo, ila huwa tunashindwa tu. Halafu ukijiona upo juu Ghorofani usidhani uko peke yako na huonekani kwani kuna Wengine (hasa GENTAMYCINE ) tuna Macho ambayo yakiona tu Kitu cha mbali basi...
  18. ChawaWaMama

    Miungurumo ya Majenerata Upanga na Posta jijini Dar

    GTs, Kwa wakazi kama mimi wa mitaa ya posta mpya au Upanga ni mashuhuda hizo kelele za majenerata yaani ni kama alivyotabiri Dkt Magufuli kuwa akiondoka madarakani hakuna atakayeweza kuisimamia serikali. Viongozi waadamizi wengi ni wezi na hakika imetokea yaani hata huwezi jua jenerata lipi...
  19. aka2030

    Kariakoo, Upanga na Posta wana nchi yao nyingine kabisa

    Baadhi ya maeneo ya Kariakoo, Upanga na Posta hawa watu ni wana nchi yao ndani ya nchi Mtu anazaliwa Posta hajawahi kufika hata Magomeni Hudumza zote wanapata huko huko Posta mpaka kuna vyuo vikuu vya nje vyenye matawi Starehe zao ni huko huko Hosptali zao ni classic zipo Maduka yao Posta mengi...
  20. JanguKamaJangu

    Popo tishio kwa maisha ya Wakazi wa Upanga Dar es Salaam

    Na Francis Godwin Changamoto ya Ndege aina ya popo imekuwa ni Tishio Kubwa kwa wakazi wa Mtaa wa Seaview Kata ya Kivukoni Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam. Madhara ya popo yanaweza kutofautiana kutoka kwa kipindi cha mwaka na eneo. Hapa kuna madhara kadhaa yanayoweza kutokea kwa sababu ya...
Back
Top Bottom