upangaji matokeo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ngara23

    Mechi ya Tabora United vs Simba huwa kuna upangaji matokeo ya wazi

    Imeripotiwa kuwa Tabora United imekosa kiasi cha million 20 ili kulipia vibali vya wachezaji wa kigeni. Lakini tukumbuke Mkuu wa mkoa wa Tabora ametoa ahadi ya million 50 timu hiyo ikiifunga Simba. Hiyo ahadi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora ni zuga tu, kama ana million 50 kwanini asiwape Wakamilishe...
  2. uzio usio onekana

    Mara nyingi matokeo ya mpira huwa yanapangwa wachezesha kamari

    Wewe ulisha wahi kujiuliza inakuwaje timu ya Yanga au Simba ambazo zinausajili wa mabilioni ya shilingi zinakuja kufungwa kiurahisi na timu kama Tabora au Mbeya city. Kwa watu ambao tunasema wameamua kujitolea tu kucheza mpira. Huo michezo sio bongo tu hata ulaya ipo yani inakuwa hivi kabla ya...
  3. OMOYOGWANE

    Mechi ya jana Azam vs KMC goli la Iddy Nado kapiga chenga mabeki watano mpaka kipa kisha kufunga, kuna viashiria vya upangaji matokeo?

    Wakuu, Nimeona clip kijana wa azam akipiga chenga mabeki wa KMC kisha wakawa wanajiangusha, Mabeki watano na kipa wa sita, tena akiwapita wanajiangusha na kunyanyuka kisha wanamuangalia tu kwa kusimama wala hawamkimbizi. Kuna viashiria vya upangaji matokeo Najaribu kuiweka clip inagoma...
  4. SAYVILLE

    Yanayosemwa huko Algeria kuhusu tuhuma za kufix mechi ya Tanzania vs Algeria

    Mengi yanasemwa kuhusu matokeo ya mechi ya Tanzania vs Algeria iliyoisha kwa suluhu na kuipeleka Tanzania AFCON 2023 huku Uganda ikikosa nafasi hiyo. Nimechukua kama lisaa kufuatilia nini kinasemwa huko nje na nakileta kwenu muone jinsi wanavyotuchafua na kutuona kama hatukuwa na uwezo wa...
Back
Top Bottom