upatikanaji wa arv

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Wizara ya Afya: ARV zipo za kutosha

    Wakuu, Wizara ya Afya imewatoa wasiwasi Watanzania juu ya uvumi uliokuwa ukiendelea kuhusu uhaba wa ARV kutokana na maamuzi yaliyochukuliwa na Rais Trump hivi karibuni ya kusitisha misaada kwa siku 90 kupitia shirika lake la USAID. Pia soma...
  2. Carlos The Jackal

    DOKEZO Wizara ya Afya Ingieni kazini. Kuna wahuni wanatengeneza janga la lazima, ARV zitaanza kuuzwa muda Si mrefu!

    Usalama wa Taifa ni pamoja na Utulivu wa Raia wake. Kiukweli kabisa Huwa Nashangaa hii Nchi yetu vipi? Trump kajitoa WHO, taarifa na vumi mbalimbali kuhusiana na upatikanaji wa ARVs zinazunguka kwenye mitandao ya kijamii kila kukicha, lakini HUSIKII serikali ikichukua hatua kuongea na vyombo...
Back
Top Bottom