The United People's Democratic Party (UPDP) is a political party in Tanzania. The party was registered on 4 February 1993.
The party didn't field a presidential candidate in the 14 December 2005 election, but supported Sengondo Mvungi of the National Convention for Construction and Reform-Mageuzi. He placed fifth out of ten candidates, winning 0.49% of the vote.
In the 2015 presidential election its candidate was Fahmi Dovutwa.
Kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zikiwa zinakaribia ukingoni, viongozi wa vyama vya siasa nchini wameendelea kuhamasisha wananchi kushiriki kwa amani na utulivu kwenye uchaguzi huo.
Mwenyekiti wa United Peoples Democratic Party (UPDP), Twalib Kabeje, amezindua kampeni za chama hicho...