Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!... na kazi iendelee.
Nilikuwa napitia habari na majalada mbalimbali humu mitandaoni kuhusu ukatili wa kijinsia hasa kwa wanandoa, aisee hali inatisha mno hasa kwenye huu uchumi wa kati.
Kuna nyakati inabidi kukaa chini km Taifa hasa...