Je, wazazi wako walikua na ukaribu na wewe, walikutia moyo, waliongea na wewe pale ulipohitaji, walitenga muda kwa ajili ya kufanya vitu pamoja na wewe au upendo wao ulionyeshwa kwa kutimiza majukumu yao ya kimsingi na kutilia mkazo nidhamu zaidi (baba au mama akifika nyumbani kila mtu...
Wana jamii nadhani mko poa.
Leo kuna nataka kusema maneno machache sana yenye faida kubwa sana.
Ndugu zangu kama tunatafuta furaha za kweli hapa duniani ebu tujaribu kusaidia wasio jiweza kwa namna yeyote ile iwayo kwani kufanya hivyo kuna manufaaa kwako ww unaesaidia licha ya yule unaemsaidia...
Good morning to all parents,
Straight to the point, wazazi wenzangu nawasihi sana tuwapende sana watoto wetu katika hali yeyote ile.
Tukiwa na fedha ama fukara, kitu pekee ambacho mtoto anahitaji zaidi kutoka kwa wazazi/mzazi ni upendo. Hayo mengine yote Mungu hubariki na huyafanya kwa wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.