upendo kwenye ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mume akiamua kumpenda mkewe anapenda vizuri sana

    Copy na kupaste.👇 MUME WANGU, SIWEZI KUSHINDANA NA MABINTI WADOGO WA MJINI. Alikuwa akisoma article fulani kwenye mtandao huku amekaa kwenye kiti kilichopo chumbani mwao.. "Darling...." Akamuita mumewe.. "Yes.." Mume akaitika... "Unanipenda?" Akamuuliza mumewe ambae alikua busy akifunga tai...
  2. J

    Mke wangu ana mimba ya miezi miwil lakini kabadilika sana

    Hivi mwanamke akiwa na mimba ya miezi miwili inampelekea kubadilika kabisa maana mimi mke wangu kabidilika sana yaani mpaka imefikia hatua ya kutaka kumuacha.
  3. Naomba ushauri mke wangu ameanza kunidharau

    Habari wakuu jamani hapa ni ushauri wa kujenga tu ndio unahitajika. Wakuu, mimi nimeoa nampenda sana mkewangu lakini hapa juzi kati nilichepuka na sikutumia kinga maana niliechepuka nae ni mtu wangu wa siku nyingi tu na ndio michezo yetu hio sasa kiukwel baada ya siku kupita nilianza kupata...
  4. Mapenzi yalivyonibadilisha na kuwa mkatili na roho ya ajabu

    Naam kama heading inavyosema kwakweli kwasasa nimeanza kujichukia hasa upande wa mahusiano ya kimapenzi. Nianze nyuma kidogo ili uelewe kwanini yamenifanya kua katili na pengine inaweza ikawa funzo kwa vijana wa leo. Hapa sitataja majina halisi ya wahusika na nitaeleza direct lengo tu. "Wewe ni...
  5. S

    Madhara ya mwanaume kuoa mwanamke asiyempenda

    Kuna sababu nyingi zinazoweza kumfanya mwanaume kuoa mwanamke asiyempeda. (Na kwa taarifa yako zipo ndoa nyingi za namna hiyo). Sababu hizo ni mwanaume:- 1. Kumkosa mke wa ndoto yake. 2. Kuachwa ama kufiwa na mke aliyempenda sana. 3. Kuachiwa watoto wadogo ghafla kwasabb ya talaka ama kifo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…