Katika karne hii ambayo wanawake wengi wamepigwa matukio ya kuachwa mpweke ghafla, fumanizi za mara kwa mara, kusalitiwa, kuibiwa, kudhulumiwa, kutapeliwa,kupokonywa mali, kudhalilishwa,kupigwa, kushambuliwa kwa maneno makali sana, kutukanwa, kuingiliwa kinguvu na kutolewa dosari za muonekano...