👉Hii miji imekaa kitapeli tapeli inapofika kwenye swala lz mahusiano Kila mtu kamtarget mwenzake be carefully
👉Linda moyo wako, nguvu zako zote, pesa na muda wako
👉Dares-Salaam na arusha ni kwa ajili ya biashara tu na si vingine
Kiukweli sisi waafrika hatuna upendo kabisa. Ni kitu ambacho kama tunajilazimisha tu kuwa nacho ila ndani yetu hakipo. Sio kwa wote ila kwa wengi wetu hatuna upendo.
Badala ya upendo mwafrika kaumbiwa sifa. Aisee sisi watu tunapenda sifa haijawahi tokea duniani. Angalia tu misafara ya viongozi...
Nawashukuru kwa mawazo yenu nyote, nimepata maamuzi mazuri ya kuchukua. Nimegundua humu jf kuna watu hawana busara. Mtu akileta wazo unatukana kwanini!?
Hivi mwanamke akiwa na mimba ya miezi miwili inampelekea kubadilika kabisa maana mimi mke wangu kabidilika sana yaani mpaka imefikia hatua ya kutaka kumuacha.
Kulingana na tafiti mbalimbali, nchi zinazoongoza kwa viwango vya juu vya usaliti zinaweza kutofautiana kulingana na vigezo kama vile tafiti za mahusiano, viwango vya talaka, na utamaduni wa mahusiano katika jamii hizo. Hata hivyo, nchi zinazotajwa mara kwa mara kuwa na viwango vya juu vya...
Habari za jioni.
Yaani si ofisini si kwenye lift si kwenye sehemu yoyote msichana akiomba msaada anasaidiwa haraka sana.
Balaa kwa madume hata litoe machozi halipewi msaada.Mwenye gari anaweza kuwapita wanaume watatu akifika mbele akaona mdoli atafunga breki mpaka gari lisote na atafungua...
Salaam,
Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba katika maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.
Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:
1. Mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae
2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia...
Wakuu nimeamua kusamehe kwa sababu sijui atakaenizika nimewasamehe wabaya wangu lakini nisingependa ukaribu nao, tukikutana tusalimiane tu kwa bashasha lakini sitaki ukaribu nao.
Habari zenu wanaJF wenzangu,
Kisa chenyewe kinaanzia mbali kidogo, hivyo naomba msomaji usome kwa kutulia ili kama una ushauri wowote wa maana, basi uendane similar na kile nilichoandika. Ok Soma sasa hapo chini....
Nikiwa nimeingia katika umri wa kubalehe (18 yrs old), nilijikuta naangukia...
Hello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini. Last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo nini hakunijibu. Mpaka dk hii kimya. Na social media anaingia vizuri tu. Na Mimi...
Huyu niliechagua kumuweka ndani bwana story anazoweza yeye ni za mapenzi, mapishi na na gossip kwa mbali.
Mengine yote haelewi, unaweza hata kumtumia picha ya kawaida ya meme na asipate ujumbe uliokusudiwa.
Nilipendea uzuri wa sura na umbo eeh ila department ya kichwani ni kama kuna shida...
Habari, nipo kwenye mahusiano na binti fulani hivi kwa muda wa mwaka, sasa mara ya mwisho kukutana nae kimapenzi ni wiki tatu zilizopita na kabla ya hapo sijakutana nae kimapenz zaid ya miez mi3.. sasa juzi kaniambia anahisi ana mimba maana hajazion siku zake.
Nikamtumia pesa aende hosptal...
Kuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.
Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.
Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na...
Jambo?
Kwa ulimwegu wa sasa wenye changamoto nyingi za malezi na uzinzi uliokithiri kupita kiasi usije ukajidanganya kuwa mwanamke unaetaka/uliemuoa anakupenda kwa dhati.
Mwanamke aliewahi kuwa na mahusiano kadhaa nyuma huwa anaolewa kwasababu ya vitu na sio upendo wa kweli.
Sasaivi sio jambo...
Hili jambo nimelithibitisha kwa watu wengi walio katika mahusiano hasa yale yakuanza na NDOA kisha ndio waishi pamoja.
Sisemi mahari ni nzuri au mbaya ila Mahari ni kipimo kikubwa sana kilichonifanya nije na huu uzi.
Nimeuliza wanawake zaidi ya 10 swali 1 ambalo ni
Je, Mpenzi wako akikosa...
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.
Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi...
Kuwafuga hawa wanyama inahitaji uvumilivu wa Hali ya juu na upendo uliotukuka vinginevyo utakuwa unavunja mguu wa mbuzi kila sku.
Wana visirani na viburi sijawahi ona.
Picha linaanza akikata kamba aisee atakupigisha tizi moja sio ya nchi hii na ukimkamata ukaanza kumvuta na kamba yake...
There was a blind girl who hated herself just because she was blind.
She hated everyone, except her loving boyfriend.
He was always there for her.
She said that if she could only see the world, she would marry her boyfriend.
One day, someone donated a pair of eyes to her and then she could...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.