Wako poa sana hawana majivuno, wanajiwekea mkazo katika kujifunza na sio kujigamba kwa upeo wao.
Wanatumia uzoefu kuyaangalia mambo na kuyachambua pia ili wafikie pale wanapopataka.
Hawashughulishwi na mambo madogo madogo ila wanabakia katika lengo lao husika
Wanafikiria kabla ya kutenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.