Wako poa sana hawana majivuno, wanajiwekea mkazo katika kujifunza na sio kujigamba kwa upeo wao.
Wanatumia uzoefu kuyaangalia mambo na kuyachambua pia ili wafikie pale wanapopataka.
Hawashughulishwi na mambo madogo madogo ila wanabakia katika lengo lao husika
Wanafikiria kabla ya kutenda...