upepo mkali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bushmamy

    Arusha: Nyumba zaidi ya 10 zaezuliwa paa kutokana na upepo mkali

    Mvua kubwa iliyonyesha jana jijini Arusha iliyoambatana na upepo mkali imeezua nyumba zaidi ya kumi katika mtaa wa mashariki na kuacha familia kadhaa bila makazi. Kutokana na upepo kuwa mkali zilipeperusha mbali bati hizo na hazikupatikana hata moja hakuna majeruhi wala vifo.
  2. W

    TMA: Kutakuwa na Upepo Mkali unaozidi Kilomita 40 kwa siku 3 mfululizo nchini

    Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa Septemba 1, 2024 kuwa kuna uwezekano wa kutokea kwa upepo mkali unaozidi kilomita 40 kwa siku tatu mfululizo kuanzia Septemba 1 hadi Septemba 3, 2024 Taarifa hiyo imesema kuwa Athari zinazoweza kujitokeza ni kuathirika na kughairishwa kwa...
Back
Top Bottom