Baada ya kufanya vizuri kwenye sedan yao ya mwaka jana, Xiaomi wamenogewa sasa wameleta SUV.
Xiaomi SU7 itaanza kuuzwa hivi karibuni, ikiwa na battery kubwa lente range ya hadi 760 kilometa.
Pia itakuja na options za RWD na AWD, zikiwa na maximum speed ya 250 km/h.
Ingawa features nyingi...
Baada ya kuhangaika kutafuta madaraja ya juu, nikaamua kukata economy kwa sababu msafiri kwa afya take alihitaji angalau business.
Muda wa safari unewadia, madaraja ya juu yapo wazi.
Kuomba huduma za upgrade, TRC wanasema hawajaanzisha hivyo ni vyema kununua ticket nyingine.
Hii ni basic...
29th October 2024: Vodacom Tanzania, the Leading technology and Communication Company, has announced that it has undertaken major overhaul in its critical intelligent network infrastructure in a bid to ensure resilient connection to its customers in the future.
Announcing the move, the...
Nini maana ya maisha?, Nini sababu ya uwepo huu?, Ni ipi siri ya safari hii?
Nini maana yangu? Nini sababu ya uwepo wangu? Ni ipi siri ya uundaji wangu?
Ni ujinga wangu au ni hatma ya safari yangu?
Ni mapungufu yangu au ni ubabe wao?
Ni dhambi zangu au ni laana yangu?
Je hii safari yangu hadi...
Mwaka 2010, Nissan walitengeneza Nissan Juke 1st generation iliokuwa designed na Kenji Kawasaki na mwenzie, wakaja na hii design:
Ni gari nzuri, nje na ndani, comfortability, efficiency na practicability.
Sasa kuanzia 2019 kuna madesigner watatu wakaambiwa waunde 2nd generation ya hii Nissan...
Dar port's $357m upgrade bears fruit, topples Mombasa from perch
Sunday May 28 2023 The East Africa
Kenya and Tanzania have been competing as the preferred entry point by Uganda, Rwanda, Burundi, South Sudan and the DRC.
IN SUMMARY
Mombasa has been losing business to Dar es Salaam, as...
Salamu sana kwenu JF experts na sisi wengine ma newbies.
Najichanga bajeti alau niwe na around 350k hivi. Kwa sasa imebakia kidogo tu ili itimie hiyo bajeti.
UHITAJI ni kwamba napenda kujifunza graphics hususani video editing na design mbalimbali kwa kutumia programs za Photoshop...
wasaalam ,
Hakuna mwanadamu mungu alimrudhuku vipawa vingi kama mwanasayansi Leornardo Da Vinci yule mchoraji nguli sana wa mchoro Tata wa mwanadada monalisa.
Mungu alimpa vipawa vingi sana binadamu huyu hata baadhi ya michoro yake ambayo Yeye mwenyewe alijichora inaonyesha dhahiri mwanadamu...
Ships dock at the Port of Mombasa. FILE PHOTO | NMG
Supply of cooking gas is set to increase following the upgrade of an import handling and storage terminal in Mombasa, setting the stage for a further drop in the cost of the commodity.
Africa Gas and Oil Ltd (AGOL) will have a storage...
Road Construction works on Outering Road.
FILE
The Director-General of the Kenya Urban Roads Authority (KURA) Silas Kinoti published a full list of all major roads in Nairobi set for upgrades.
According to the full list availed on the KURA website, several roads are due for rehabilitation in...
Kenya is set to commence phase two upgrade of Kibra Slum. Director of Slum Upgrading programme Mr Charles Shikuku made the announcement and said that Soweto residents have been given one-month eviction order ahead of the housing project.
Kibera was identified for redevelopment since it is one...
The governments of Kenya and Uganda are set to upgrade the Suam border point as they aim to ease pressure on Busia and Malaba borders. According to the Uganda Revenue Authority (URA) regional customs manager James Malinzi, the move is aimed at developing the capacity to control the borders.
The...
Niko Arusha
Nauza Ram 4GB DDR3 (Samsung planet first,Made in philippines) kwa ajili ya Laptop iko poa kabisa katika hali nzuri na ifanya kazi poa kabisa bei ni Tsh.37000 maongezi yapo nicheki zaidi kwa biashara kwa namba 0767142928 call,SMS au WhatsApp.
Karibu tufanye biashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.