upigaji serikalini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rais Samia adhibiti Upigaji wa Pesa la sivyo hizo anazotafuta nje hazitakuwa na maana

    Kadri Raisi Samia anavyo fanya dhiara nje kutafuta pesa zinazo itwa za maendeleo ndio kadri wahuni wanavyo jipigia pesa za Umma. Kasi ya upigaji ni kubwa kuliko ya kutafuta pesa huko nje na inaonekana Raisi hajali kabisa hilo, yeye upigaji sio jambo linalo muumiza kichwa wala kumkosesha...
  2. Shuhudia jengo la Mahakama ya Wilaya ya Namtumbo lililotafuna Milioni 723. Hatujapigwa kweli?

    Habari ndugu wapambanaji.. Hivi kweli jengo hili la Mahakama ya Wilaya linaweza kugharimu mil.723 Kweli? Pamoja na kwamba Sina michoro na BoQ yake Ila kwa haraka haraka hilo jengo halizisi mil.400 kwa kila kitu, C hapo gumepigwa.. Na bahati mbaya sana Majengo mengi ya Mahakama yamekuwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…