upinzani bungeni afrika kusini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Afrika Kusini: Upinzani watikisika, Naibu wa Malema ahamia Chama cha Zuma (MK)

    Chama cha Economic Freedom Fighters (EFF), kimepata pigo kubwa baada ya Naibu wake, Floyd Shivambu, kujiondoa na kujiunga na Chama cha aliyekuwa Rais Jacob Zuma - uMkhonto weSizwe (MK) Floyd Shivambu alikuwa anachukuliwa kama Mtaalamu wa Kiitikadi wa EFF huku Julius Malema, akichukua nafasi ya...
  2. Jacob Zuma na chama chake watangaza kuunganisha nguvu na Kambi ya Upinzani Bungeni ili kuikwamisha Serikali

    AFRIKA KUSINI: Rais wa zamani na Kiongozi wa chama kipya cha uMkhonto weSizwe (MK), Jacob Zuma amesema chama chake kitaungana na Kambi ya Upinzani Bungeni ili kupinga Ushirikiano wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa chini ya Chama Tawala cha ANC Zuma ameendelea na msimamo kuwa Uchaguzi Mkuu wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…