Anaweza kuwa amechoka, amesusa, amenuna, amekasirika, amekwazika, ana kinyongo, anaumwa, ana msongo wa mawazo. Si unajua mabinti na vijana wa siku hizi wana mambo mengi? Si unajua siku hizi maisha yanaenda kasi? Kwahyo yeye akikasirika, akinuna, akisusa, wewe jaribu upole.
Najua unamuona yupo...