upotevu wa mapato

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Ili kudhibiti upotevu wa mapato, Kariakoo ifanywe SPECIAL BUSINESS ZONE

    Kwako Rais wa JMT Mhe.Samia Suluhu Hassan Waziri wa biashara Dkt. Suleiman Jaffo Nawasalimu kwa jina la JMT, Awali ya yote nachukua nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema na huruma kwa kutujalia kufika muda na wakati huu tukiwa wazima wa afya na kujaliwa amani na usalama wa...
  2. Mkuu wa Mkoa Kigoma azitaka Halmashauri kudhibiti upotevu wa mapato

    Mkuu wa mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amezielekeza timu za Menejimenti za Halmashauri mkoani humo kuhakikisha zinasimamia na kudhibi upotevu wa mapato yanayotokana na makusanyo ya ndani katika Halmashauri hizo Andengenye ametoa maelekezo hayo alipokuwa akifunga kikao kazi kilichomkutanisha...
  3. Dkt. Mwigulu: Mifumo ya kielektroniki ni muarobaini upotevu wa mapato ya serikali

    Matumizi sahihi na salama ya mifumo ya kieletroniki Serikalini, yametajwa kuwa suluhisho la kudumu katika kuziba mianya ya upotevu wa rasilimali za serikali ikiwemo mapato yatokanayo na vyanzo mbalimbali nchini. Hayo yameelezwa jana jijini Dodoma na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba, wakati...
  4. Mifumo ya DP World kudhibiti mianya ya upotevu wa mapato

    Kutokana na madai ya kuwepo changamoto za mifumo madhubuti na kusababisha baadhi ya watu wasio na uadilifu kujihusisha na vitendo vya udanganyifu na kupoteza mapato ya Serikali katika Bandari ya Dar es Salaam na bandari nyingine nchini, Kampuni ya DP World (DPW) inayotarajiwa kuwekeza kwenye...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…