uraibu wa pombe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Q

    Rasmi nimeacha pombe, zinaleta roho za kimasikini. Usiingie kwenye uraibu huo

    Kwema wakuu baada ya kutumia pombe kwa kipindi cha miaka 11 tarehe 7.3.2025 nimeacha pombe Rasmi na pia nachagua Marafiki ambao hawanywi pombe bahati nzuri Mpenzi wangu Hanywi Pombe Nakushauri acha pombe.
  2. Analog

    Kuna ugumu gani wa kuacha unywaji wa Pombe?

    Hii kitu ina hasara nyingi tofauti na faida yake, hivi unawezaje kung'ang'ania biashara isiyokuwa na faida.? Ndugu zangu sote tu mashuhuda pombe ina madhara makubwa hasa unapokuwa addicted. Unapoteza utashi wa akili na inaleta madhara makubwa ndani ya kiungo cha mwili, hvi ata kuacha unywaji...
Back
Top Bottom