urubani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. chizcom

    Tuseme ukweli kazi ya urubani imekuwa rahisi sana ukilinganisha na zamani walivyokuwa wanaheshimika

    Urubani wa siku hizi hata usiyejua unaweza kusomea ili mradi zile kanuni ambazo utafata kwenye elimu zinazofundishwa. Ukilinganisha na zamani yani ndege nyingi zilikuwa zinaitaji marubani zaidi ya watu mpaka wanne kutegemea na aina gani ya ndege. Ukilinganisha na leo yani kila kitu kimewekwa...
  2. Kaka yake shetani

    KIWANJA CHA NDEGE CHATO FANYENI CHUO CHA URUBANI LA SIVO MTAKUWA MMEPOTEZA PESA ZA WANANCHI

    Naumia sana na hii nchi yangu japo na mimi nipo hapa nikisubiri mabadiliko.ila najiuliza kwa nini kile kiwanja cha chato ambacho kinaweza kutua ndege za kila aina kikatelekezwa tu. Kwa nini serikali isitafute wabia toka nje kuja kukifanya kiwe shule ya urubani ili kuendeleza uchumi.mbona...
  3. KING MIDAS

    Mchongo wa Urubani: Je unatapenda kuwa rubani? Vijue vigezo unavyotakiwa kuwa navyo

    JE, NI VIPI VIGEZO VYA KUSOMEA URUBANI? Unataka kuwa rubani? Je, umekosa ndoto nyengine ambayo haitafirisi mzazi, mlezi au mdhamini? Usijali, huu ni utani wenye ukweli ndani yake. Kabla ya kupata dokezo la huko tuendapo, Kwanza tuanze na matumizi matatu ya msingi ya Usafiri wa Anga...
  4. Red Giant

    Tugeuze uwanja wa ndege Chato kuwa Chuo cha Urubani

    Wengi tunafahamu kuwa kujenga uwanja wa ndege Chato lilikuwa ni jambo la ajabu kiuchumi na ukanda mbaya sana. Jambo lisilopaswa kutokea tena. Lakini uwanja ule tusiuache uoze, ni pesa nyingi zimetumika. Napendekeza tuufanye kuwa chuo cha urubani. Serikali na watu binafsi wajenge shule za...
  5. mcTobby

    Kwa hali ilivyo, ndoto yangu ya kuwa rubani itatimia kweli?

    Kwema wadau na wanajamvi wote humu? natanguliza salamu. Ni matamanio yangu kama mwanadamu tokea nikiwa mdogo kuingia kwenye hii career ya kurusha ndege. Nikasema anyway, nikimaliza chuo (nilimaliza mwaka jana B. Degree in Social Science), nikipata kazi nitadunduliza kidogo kidogo ndani ya hata...
  6. MK254

    Vijana wengi Wakenya wajiunga kusomea urubani wa "drones", unalipa sana siku hizi

    Kenyans are rushing to enroll into drone academies as they seek to equip themselves with drone piloting skills so as to obtain operating licences. Many of the Kenyans enrolling into the academies want to learn as well as obtain about licences that will allow them operate commercially. Drones...
Back
Top Bottom