USA vs AL-ARIAN is 2007 documentary film about Sami Al-Arian and his family during and after his federal trial on terrorism-related charges. It was directed by the Norwegian director Line Halvorsen.
According to the St. Petersburg Times, the film "glosses over the specific charges, and pays scant attention to the evidence." However Variety notes that, "Though unquestionably biased, eye-opening docu "USA vs Al-Arian" throws the spotlight on a justice system shanghaied by the Patriot Act, leaving a deeply sympathetic family frayed but not quite broken."
In the trial, the jury acquitted Al-Arian of nearly half the charges, and deadlocked on the remaining charges. After the trial, Al-Arian pleaded guilty in 2006 to conspiracy to help a terrorist organization, the Palestinian Islamic Jihad.
Meli za Kivita za Jeshi la Wanamaji za Marekani na Russia wafanya mazoezi Pamoja; Uchina, Mataifa ya QUAD Pia Yajiunga na Komodo 2025.
Kwa upande wa matukio ambayo yanapinga mivutano na ushindani wa hivi majuzi, vikosi vya jeshi la majini la Russia, China, Marekani, India, Australia na...
Washirika muhimu wa haya mataifa mawili hasimu[ Israel na Iran ] hapo mashariki ya kati ambao wapo bega kwa bega nao katika ushirika muhimu wa kiuchumi, kiulinzi na kiushawishi leo tuwafahamu kidogo in case huu uhasimu ukizaa vita kubwa tegemea kuona kishindo kikubwa sana mashariki ya kati...
Sijui ni kivipi Russia watalipa kisasi kwa marekani kama walivyosema mara baada ya makombora ya marekani kutumiwa na Ukraine kushambulia Crimea ambayo tayari iko chini ya himaya ya Urusi tokea 2014. Habari zaidi…
Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi ilimwita balozi wa Marekani Jumatatu kupinga...
Putin kawashika pabaya Marekani sasa wanahaha kujilinda kwa kila mahala baada kuistukia Kaspersky Software ya Urusi inatumika kufanya ujasusi..Juzi tu walikua Wana ituhumu TikTok ya China kwa ujasusi🤣🤣🔧
---
🚨 BREAKING: BIDEN BANS ANTIVIRUS KASPERSKY SOFTWARE
Biden admin will announce plans to...
Mimi naamini kua Kwa Sasa Urusi Iko vitani na NATO.
Nae USA ni Mkuu wa NATO.
Lkn wapo pro NATO wanakuambia hapana Urusi Iko vitani na Ukraine peke yake,NATO haimo,wanaenda mbele Wana sema nchi ndogo TU ya Ukraine Urusi imechukua miaka miwili kuishinda je hii Urusi ndio ya kupigana na NATO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.