Kati ya vitu vilivyonisumbua, hasa miaka ya nyuma nilipokuwa nikienda ugenini vijijini, ni suala la kuswaki kwa kutumia maji yaliyowekwa kwenye beseni/ndoo ya kuogea. Tokea nikiwa mdogo, nilishajizoesha kuwa maji ya kwenye ndoo ya kuogea "hayafai" kuswakia.
Lakini kama wasemavyo, "msafiri...
Ni muhimu sana kua karibu na mwenzi wako mkizungumza na kubadilishana mawazo, kwa karibu sana tena kwa kujiamini sana.
Ni muhimu sana muonekano wenu, uwe wa kupendeza na kuvutia ninyi wenyewe na hata kuvutia wengine, lakini ni jambo la maana zaidi, muonekano wenu wa njee uambatane na usafi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.