usafi wa mgahawani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tukio gani ulilishuhudia mgahawani/hotelini likakutia kinyaa?

    Enzi huzo nipo chuo, mida ya asubuhi nimeenda mgahawani kupata supu then niingie zangu pindi. Basi bwana, nikafika nikaagiza supu nikawa nasubiriwa niletewe. Sasa kuna vile vitambaa vya kufutia meza vile, mmoja wa wahudumu alifuta meza kisha akaondoka nacho akelekea nacho kwenye sufuria la...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…