The Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) is the government body that regulates air services and airport services, and provides air navigation services, in Tanzania. It was founded by an Act of Parliament in 2003 and operates under the purview of the Ministry of Infrastructure Development. The TCAA is responsible for the disposition of aviation safety and for the licensing of aviation personnel. It is also responsible for contributing to the financial oversight of Tanzania's air infrastructure development; the registration of aircraft; for the investigation of air accidents; for local area search and rescue; and in conjunction with the Tanzania Airports Authority, for the operation of airports and aerodromes.The head office of the TCAA is located in the Aviation House building in the Banana Ukonga Area of Dar es Salaam. Previously the head office was located jointly on the second floor of the IPS Building and the fourth floor of the TETEX Building in Dar es Salaam.
Sio poa kabisa Wakuu, leo nimekiona cha Mtemakuni!
Hali ya usafiri usiku huu inazidi kuwa ngumu kuanzia Tabata Relini, ambapo foleni ya magari ni ndefu hadi Barakuda.
Dar es Salaam, asubuhi karibia theluthi mbili ya wakazi wote wa mji wanaofanya kazi wanaenda Kariakoo, Posta na Ubongo katika maofisi, kwenye biashara na pia kufuata huduma mbalimbali za kiofisi, halafu jioni tena karibia watu wote hao wanageuza kurudi makwao kwa pamoja kama kumbi kumbi.
Kwa...
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra), inatarajia kuanzisha huduma ya ‘Ride Sharing’ kabla ya kuisha mwaka huu wa fedha 2024/25.
Watu tisa hadi 14 wataweza kupanda gari moja kwa kuomba kupitia mitandao ya simu hata kama wapo vituo tofauti.
Akizungumza na Mwananchi, leo Jumanne, Agosti...
Toka kuanzishwa kwake mwaka 1947 kampuni ya usafiri wa mabasi jijini Dar es Salaam Motors Transport (DMT) chini ya udhibiti wa British Holding Cooperation United, iliendesha shughuli zake kama katika nchi zilizoendelea. Yaani mabasi yalikuwa yanakwenda sio kiholela bali kwa ratiba na kitabu...
Habari Mabibi na Mabwana.
Naomba nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye kero, Kero hii inihusiana na usafiri wa umma kwa wakazi wa Buza ( kwa Lulenge hadi Kanisani). Hapo awali usafiri wa daladala kutokea maeneo tofauti kwenda Buza gari zilikuwa zinaenda hadi Buza Kanisani ( mwisho wa gari)...
Habari wakuu,
Mtindo huu wa bajaji kupakia abiria wawili mbele si mpya, naamini watu wengi mmekutana nayo hii hasa kwa wakazi wa Mbezi ya Kimara. Hili ni jambo hatari ambalo linaweza kusababisha majanga muda wowote, hasa ukizingatia madereva wengi wa bajaji walivyo rafu barabarani.
Kubwa zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.