Salamu,
Nimepata taarifa mbaya hapo makondeko Moshi, mzee mmoja kafariki na dereva hoi.
Pia soma: Tatizo kubwa la ajali za barabarani zinazohusisha pikipiki(boda) katika jiji la Dar es Salaam
Mimi nawashauri hawa madereva wawe makini hasa kwenye highway. Nasikia ukienda hapo KCMC kuna word...