usafiri wa mabasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Mabasi mengi kutoka Arusha kwenda Mbeya yamechakaa, yanahatarisha usalama wa abiria

    Mamlaka ziangalie usafiri wa mabasi ya Jiji la Arusha kwenda Mbeya kwani mabasi yale ni machakavu hayafai kusafirisha abiria sehemu yoyote ndani ya nchi hii ukizingatia yanatoka Arusha Jiji kwenda Mbeya jiji
  2. kyagata

    Nawashukuru sana wafanyabiashara wa usafiri wa mabasi mlioamua kuiunganisha kanda ya ziwa na nyanda za juu kusini

    Wakuu Previous hakukua na dalili za mtu kutoka direct from lake zone to nyanda za juu kusini. But kutokana na utashi na exposure ya watu wa maeneo husika sasa hivi usafiri wa hizo pande mbili upo muda wote. Mfano jana nimetoka Mwanza saa saa 10 jioni ila leo saa 7 au 8 hivi nimefika Mbeya na...
  3. Damaso

    Je una uzoefu gani kwenye usafiri wa mabasi?

    Katika zama hizi za utandawazi, usafiri umekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku. Tunaweza kusafiri kwa ndege, treni, basi, gari, pikipiki, au hata kwa miguu. Hata hivyo, pamoja na urahisi huu wote, bado tunakabiliwa na changamoto nyingi, ikiwa ni pamoja na ucheleweshaji, ajali, na...
  4. ngara23

    Safari ya Mwanza - Dar Kwa bus ni adhabu

    Umasiki mbaya aisee, Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali gani Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air Tanzania
  5. Bruno Jewel

    KERO Kero ya usafiri wa mabasi

    Nimekata tiketi ya bus ( Classic coach) siku tatu kabla ya safari kutoka Moro kwenda Mbeya. Tiketi inasema safari ni saa 12 asubuhi ila muda wa kuwasiri ni saa 11:30 asubuhi. Nimewasiri saa 11: 30 stendi nimeambiwa nisubiri gari. Cha ajabu nimesubiri mpaka saa 1: 10 asubuhi nakuja kuambiwa et...
  6. Heparin

    Mwandani wa huduma ya usafiri wa mabasi ya UDA jijini Dar es Salaam kwa ufupi

    Toka kuanzishwa kwake mwaka 1947 kampuni ya usafiri wa mabasi jijini Dar es Salaam Motors Transport (DMT) chini ya udhibiti wa British Holding Cooperation United, iliendesha shughuli zake kama katika nchi zilizoendelea. Yaani mabasi yalikuwa yanakwenda sio kiholela bali kwa ratiba na kitabu...
  7. R

    KERO ZA USAFIRI: Umekumbana na kero gani kwenye harakati za usafiri?

    Wakuu, Usafiri wa umma una vimbwanga yake, unaweza kukutana na jambo mpaka ukatamani ungekuwa na gari lako ili usikutane na masaibu hayo! Mabasi machafu, wazee wa kubadili ruti na kusema magari hayaendi hasa kukiwa na watu wengi kituoni ni baadhi ya kero nilizokutana nazo kwenye usafiri huu wa...
  8. W

    LATRA kujadili maoni ya kupandisha nauli za mabasi ya mwendokasi

    Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imepokea maombi ya kurejea nauli za mabasi yanayotoa huduma ya usafiri wa haraka kutoka kwa UDART ambayo inatoa huduma za mpito za usafiri wa Mabasi ya Haraka katika Jiji la Dar es Salaam Mapendekezo ya Nauli yaliyotolewa ni kama ifuatavyo, Nauli ya...
  9. A

    Usafiri wa Mabasi Dar/Arusha-Nairobi wasitishwa

    Wale wazee wa Dar express na Shuttle kwenda Nairobi tulieni ama mtafute nauli ya ndege. Nairobi hapaingiliki kindezi Kwa sasa
  10. Yuda Legacy

    Nitegemee mazuri au mabaya yapi nikipanda basi hili?

    KAMA kichwa cha habari kinavyosema nijiandae na mazuri yapi na mabaya yapi kutoka kwenye hili bus maana niko huku bush (kijijini) mbeya karibu na tabora ndio nataka nipande. Au nisipande mnijulishe pia nipande gari ipi kwa hapa nilipo maana nililo likuta mimi ndio hili tu japo kuna Noah lakini...
  11. A

    KERO Kero ya usafiri Newala, Mtwara

    Usafiri wa Mabasi ya Newala, Mtwara ni changamoto sana na ni shida ya mda mrefu sana. Wafanyabiashara wa mabasi wanafanya biashara kwa kubahatisha; service hazifanyiki vzur na kwa wakati hali inayopelekea magari kuharibika sana njiani na hta kuweza kusababisha ajali barabarani. Naomba serikali...
Back
Top Bottom