Kama kawaida sekta binafsi huzengea uwekezaji za umma ili wao kuvuna faida badala ya umma kufaidika. TRC wameshatoa wazo la kubinafsisha huduma ya SGR, huku wakiwa wametaja makampuni yaliyo jitokeza yenyewe hata kabla ya kualikwa kutaka wao wapewe kuendesha. Sasa wao sijui ujuzi wamepata wapi au...