usagaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pang Fung Mi

    Kuna ushahidi gani kuwa CCM na Serikali yake ya sasa Wanapiga vita ushoga na usagaji? Toeni ushahidi

    Mwaka huu wa uchaguzi vyama vya siasa vishindane kwa hoja za msingi, CCM wakileta propaganda za kitoto na za kishamba kama za 2005 na 2015 wataaibika sana. Kamati ya CCM ya mipango ya kimedani ijieupushe na propaganda zenye utoto na za kizamani, CCM iweke bayana ni wapi ni ukurasa gani wa ilani...
  2. Balqior

    Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

    Habarini, Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike. Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe)...
  3. Tlaatlaah

    JE, NI KWELI PUNYETO NA USAGAJI NI MIONGONi MWA VYANZO VYA KANSA YA VIA UZAZI, MADAKTARI NA WATAALAMU WA AFYA YA UZAZI?

    Naomba ufafanuzi tafadhali wangwana matabibu wa afya na mapenzi?🐒
  4. Hapana What

    Mfumo wa usagaji plastic na usafishaji (PET) system plant

    Kwa mawasiliano +255 689 859167
  5. A

    SoC04 Tanzania Bila Ushoga na Usagaji: Njia za Kupambana na Majanga Haya kwa Maendeleo ya Taifa lenye Maadili Bora

    Katika ulimwengu wa leo, changamoto zinazohusiana na mabadiliko ya kijinsia na mwelekeo wa kingono zinazidi kuongezeka, zikihusisha masuala kama ushoga na usagaji. Tanzania, kama nchi yenye historia tajiri ya utamaduni na maadili, inakabiliwa na changamoto ya kulinda na kuimarisha maadili yake...
  6. instagramer

    Sauti ya mamlaka ya raia namba moja Rais Samia ndiyo pekee inaweza kutupatia tiba

    Habari wanadodi, Nadhani sote kwa pamoja tumeshuhudia siku za hivi karibuni ongezeko la machapisho au taarifa mbalimbali za kuhamasisha/kupinga mmomonyoko wa maadili. Jana Mkoani Tabora kwa mujibu wa Channel ya Wasafi media, Mkuu wa mkoa amekamata shehena ya vitabu vinavyohamasisha ushoga na...
  7. Pang Fung Mi

    Upo uwezekano biashara ya massage+ na vibes za body to body na kachumbari ya happy ending vitaongeza kasi kupaa kwa ushoga na usagaji

    Hello, kuhusu sakata la ongezeko la majumba ya massage services hasa lile vibe la body to body + happy ending, na promo yake ya nguvu, nachelea kusema ukizingatia privacy iliyopo maeneo hayo tutarajie ongezeko kubwa la ushoga na usajili. Massage zitavunja sana watu bikra zao za matundu madogo...
  8. olimpio

    Tetesi: Shule ya wasichana ya Huruma iliyopo Dodoma yazuia wanafunzi kurudi likizo

    Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne . 1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo ...
  9. F

    SoC03 Ushoga, Usagaji na Talaka, wanawake rudini katika misingi ya kulea familiya kama jukumu mlilopewa na Mungu

    UTANGULIZI Ni ukweli usiopingika kwamba, siku hizi majanga ya kuporomoka kwa maadili katika jamii yanaongezeka tena kwa kasi sana. Miongoni mwa majanga haya ni pamoja na Ushoga, Usagaji, kuvunjika kwa ndoa na mengine mengi. Majanga haya ni mambo mabaya sana mblele za Mwenyezi Mungu na hata...
  10. JanguKamaJangu

    Nape Nnauye: Hakuna kumung’unya maneno, hatuwezi kufungua mlango wa laana kuruhusu mapenzi ya jinsia moja

    Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hakuna sababu ya kumung’unya maneno, hatuwezi kufungua mlango wa laana kuruhusu Ushoga, usagaji, mapenzi ya jinsia moja.”
Back
Top Bottom