Usaili wa Kazi
Konradi Kitumbo alitembea barabarani akitangaza tangazo lake, “La mgambo likilia kuna habari…”
“Kuna jambo… Acha kuharibu maneno wewe!” Mpita njia alikosoa, Kitumbo akarudia, “Haya, la mgambo likilia kuna jambo…” akakohoa kidogo kisha akaendelea, “mwezi ujao kuna usaili wa kula...