usaili wa walimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Career Mastery Hub

    Jinsi ya Kujitayarisha na Kujibu Aptitude Test au Written Test Usaili wa walimu

    Jinsi ya Kujitayarisha na Kujibu Aptitude Test au Written Test 1. Tambua Majukumu Yako ya Kazi Anza kwa kuelewa kwa kina majukumu yako ya kazi. Unganisha majukumu hayo na dhana maalum, kanuni za utendaji, au moduli zinazohusiana. Hii itakusaidia kuelewa lengo la swali, nini kinachopimwa, na...
  2. Career Mastery Hub

    Mambo ya msingi kabla ya kwenda usaili wa WALIMU sekretarate ya Ajira mwaka 2025

    Mkuu Twende Wote Hapa😁 If you're preparing for a teaching interview, you're about to embark on an important journey that can shape your career. Whether you're new to teaching or an experienced educator, there are key elements that you need to understand. In this guide, we’ll walk you through...
  3. M

    usaili kada ya elimu somo LA mathematics umenishangaza

    kilichotikea leo ni moja ya usaili katili sana kuwahi kushuhudia nimefanya interview shule nyingi za private lakini kwa huu nmenyoosha mikono. kwa walimu ambao bado hamjasailiwa mjipange kule sio kuzuri kabsa .
  4. Bush Viper

    Tunaungana kwa pamoja kwa mafanikio ya usaili wa walimu

    Kesho rasmi walimu wanaanza usaili, na usaili huu utaendelea hadi tarehe 24 mwezi wa pili. uzi huu umeandaliwa mahsusi ili kuwa jukwaa la kushirikiana mawazo, maswali mliyokutana nayo, changamoto mlizopitia, na uzoefu wenu wa mtihani. Lengo ni kuwasaidia wenzetu wanaotarajia kufanya usaili huu...
  5. Career Mastery Hub

    Mwelekeo wa mchakato wa usaili wa walimu Sekretarieti ya Ajira: Je, nini kinaendelea?

    Na Josephat H Interview And Carrer Coach +255656480968 Dar Es Salaaam, Tanzania 👉Leo ni tarehe 28.09.2024, na ni siku chache tu tangu usaili ulipositishwa rasmi kupitia barua iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Sekretariate ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Hadi sasa, hakuna taarifa...
  6. Career Mastery Hub

    Mwelekeo wa mchakato wa usaili wa Walimu Sekretariate ya ajira: je, nini kinaendelea?

    MWELEKEO WA MCHAKATO WA USAILI WA WALIMU SEKRETARIATE YA AJIRA: JE, NINI KINAENDELEA? Na Josephat H Interview And Carrer Coach +255656480968 Dar Es Salaaam, Tanzania 👉Leo ni tarehe 28.09.2024, na ni siku chache tu tangu usaili ulipositishwa rasmi kupitia barua iliyotolewa na Katibu Mkuu wa...
  7. M

    Mtazamo na ushauri wangu kwa serikali juu ya usaili wa walimu

    Habari wadau, Kwanza nianze kwa kutafakari kwanini shule za serikali haziongozi kwenye matokeo, kubali kataa sababu ni hizi. 1. Miundombinu na vifaa vya kufundishia. 2. Ufuatiliaji wa wanafunzi na mienendo ya walimu. 3. Mchakato wa kuwapata walimu na kuwafuatilia kwa ukaribu. 4. Mishahara...
  8. M

    Hongera Serikali kwa kusitisha usaili wa Walimu: Tunashauri utaratibu wa zamani utumike kwa kupangwa vituo na TAMISEMI

    Ni mbumbumbu tu anayeweza kuamini kuwa usaili ndio wenye uwezo wa kutupatia walimu bora!! Usaili unasaidia tu kuondoa wengine na kubakiza wachache kulingana na nafasi zilizopo!! Utaratibu wa usaili haufai kabisa kwa taaluma ya ualimu na afya. Utaratibu wa zamani wa TAMISEMI kuwapangia walimu na...
  9. Career Mastery Hub

    Ijue 'Aptitude Test' na inavyoweza kutumika katika usaili wa walimu 2024 na kada nyinginezo

    THE APTITUDE TEST OVERVIEW (Written Aptitude Test): Mtihani wa Uwezo: Maelezo, Utaratibu wa Kujiandaa, na Angalizo Muhimu by Josephat. 1. Nini Mahana ya Mtihani wa Uwezo (Written Aptitude Test) ? Mtihani wa uwezo (Written Aptitude Test) ni jaribio linalopima ujuzi na uwezo wa mtu katika...
  10. Career Mastery Hub

    Walimu jiandaeni vyema na Aptitude Test

    WALIMU SOMENI HAPA Difference Between an Aptitude Test and a Memory-Based Test Aptitude tests and memory-based tests are used for employment assessments, but they evaluate different abilities. Here’s an explanation of both, using examples related to the education sector , such as tasks for...
  11. DeMostAdmired

    Kumfanyia interview mwalimu ni kumsumbua na kumpotezea muda tu, ni urasimu

    Yani ukinambia unawafanyia interview walimu ndo uwaajiri binafsi naona haijakaa sawa. MWALIMU siyo sawa na mtu wa kada zingine kama afya, tra, procurement na kada zingine. MWALIMU anakaa na mwanafunzi mwaka mzima, dokta anakaa na mgonjwa mpka either afe au apone. Point yangu ya msingi ni...
Back
Top Bottom