Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma iangalie vizuri mfumo wa Ajira Portal unatutesa tunashindwa kutuma maombi, kila ukijaza taarifa hazifiki asilimia 70 na pia hakuna mfumo wa kubadili vyeti ulivyoviweka ili kuweka vingine.
Sijui inakuwaje na ajira zote zinatumwa huko.
Anonymous
Thread
ajiraportal
changamoto
changamoto ajiraportal
mfumo wa ajirausajiliajiraportal
utumishi portal