usajili azam fc

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mr pipa

    Bakhresa ili timu yako itoboe kitaifa na kimataifa ushauri wangu mimi kama ni huu

    Tenga muda chukua wachezaji wako wote uwe unapita kuwa pitisha kwenye viwanda vyako ili waone hela ya mshahara wao inavyopatikana na unapokuwa unawapeleka usiongee nao chochote we nyosha tu vidole kwa ishara Ukimaliza hapo wapeleke kwenye mashamba yako ya katani na miwa nako wakaone hela yao...
  2. kavulata

    Azam msione aibu kufukuza benchi la ufundi, timu haichezi vizuri

    Usajili ni mkubwa lakini timu haiko vizuri kusema ukweli. Hata nafasi hii ya kucheza CAF championship ilitokana na TFF kuruhusu Tabora united yenye wachezaji 8 uwanjani kucheza na Azam na kujipatia pts 3 na magoli meeengiiii yaliyosababisha kuishinda Simba kwa magoli kwenye msimamo wa ligi...
  3. wasakatonge forever

    Azam FC wajigamba kushusha mchezaji mpya mkali

    Ila hawa Azam Fc wana mikwara; kabla wiki haijaisha wamejigamba kushusha mashine moja matata mnoo ukimcompare na Bukayo Saka ni kitu mulemule. Je unadhani atakuwa ni mchezaji gani huyo ?
Back
Top Bottom