Juzi nimejaribu kujaza taarifa za wazazi ili waweze kupata bima ya afya lakini nilirudishwa kwa sababu zifuatazo:
Majina ya mama anatumia majina ya baba baada ya kufunga Ndoa.
Majina ya Baba yalikosewa NIDA badala ya kuitwa SAMWEL likandikwa SAMUEL.
NHIF wamesau hata kuwa bima ya afya ni...