usajili simba na yanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. CAG wa Usajili kwa Clubs za Simba na Yanga

    Tunapoelekea nusu ya msimu mimi Mkaguzi Mkuu wa Sirikali. USAJILI WA DUBE Wanachama waangalie jambo hili wakiwahoji viongozi wao. Hizo Milion 700 za kumnunua Dube alikula nani? Tunapoangalia katika misimu ambayo Dube amechezea Azam ni minne. Ambapo ameibuka na magoli jumla 32. Wastani wa magoli...
  2. Kwa nilichokiona leo kuna maafa mengine yananukia tarehe 8, kitakachowaokoa ni sangoma. Yanga wanaanzia walipoishia

    Mechi ya Leo kati ya yanga na Augsburg miamba ya soka ujerumani imetuonyesha picha halisi ya kikosi Cha wananchi. Timu imetulia, inacheza soka la kitabuni, Inacheza kitimu bila kujali wanacheza na timu iliyo daraja la juu kabisa inayocheza ligi kuu ya ujerumani bundesliga! Hii inaonyesha...
  3. C

    Sikuwahi kujua kwa nini mashabiki wa Simba tunaitwa mbumbumbu ila kwa wanavyoshangilia usajili, naanza kuona shida ilipo

    Niseme ukweli kuwa nampongeza mwekezaji kuamua kusajili vijana wadogo ambao ni wazi wengi hupambabana kuonesha uwezo wao kwani wanahitaji kuendeleza vipaji na vipato vyao kupitia soka. Pamoja na hayo kuna kitu kinanishangaza sana.Ni jinsi mashabiki wa Simba wanavyoshangilia usajili kabla...
  4. Wakichukua Morrison na nyie chukuen wao

    UNABII HAUSIHI MPAKA UTIMIE Jakaya amenikumbusha mbali sana enzi napenda kwenda uwanjani. Alikuwepo akasikia Simba wamechukua Morrison. Hahaha akajibu, "Kama wamechukua Morrison, na nyie chukueni wao." Naona unabii umetimia... Kwa Manara, Done. Akiwa Simba, alisema Yanga hawatachukua...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…