usajili simba sc

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Kamati ya Usajili Simba SC waondoeni kina Kibu, Mutale, Ahoua, Balua, Kapombe na Shabalala. Leteni wachezaji wanaojielewa

    Nimeutizama mpira jana safu yetu ya ushambuliaji ukimtoa Ateba hakuna mwingine aliyekuwa anaelewa nini timu inatakiwa kufanya. Nikiri tu kusema Simba tumepata kocha mzuri sana ila tatizo lipo kwenye magarasa aliyoletewa na yale aliyoyakuta. Najiuliza aliyemleta Mutale na Ahoua alifikiria nini...
  2. Mpigania uhuru wa pili

    Madhara ya kusajili bila kocha yameanza kuonekana Simba SC kabla hata msimu kuanza

    Wakati simba wanasijili bila kocha tuliongea na kusema sio utaratibu ila mashabiki wa simba walitukebehi na kutubeza amekocha kocha kuna baadhi ya wachezaji amesema haridhishwi nao kama lakred, ngoma, koblan na onana. Mpaka sahivi timu imeingia gharama nyingine ambazo hazikua na ulazima za...
  3. GENTAMYCINE

    Tetesi: Asanteni Simba SC, sina deni tena nanyi baada ya kumalizana na Victorien Adebayor

    Asanteni Simba SC sasa sina deni tena nanyi baada ya kumalizana na mshambuliaji hatari na jibu tosha la ushambuliaji Victorien Adebayor Yuko njiani kuja nchini Tanzania kumalizana na Tajiri; Tayari ameshafuatwa na Mafia Mkubwa Sasa mtatutambua ok? Ubaya Ubwela. Kudadadeki!
  4. Majok majok

    Simba hiki ni kipindi cha usajili. Je, mnasajili kwa kutumia ripoti ya Mgunda ama mnasubili kocha mpya?

    Moja ya vitu ambavyo Simba na viongozi wake wanaferi ni eneo la usajili, sasa hivi wanaongelea kusajili lakini wakati huo huo hawana majibu kama mgunda wanampa timu ama lah! Kama Mgunda anapewa timu basi wafanye usajili kupitia ripoti ya Mgunda, na kama wanatafuta kocha mpya wanatakiwa wampate...
Back
Top Bottom