usajili wa chama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ngara23

    Usajili wa Chama unaathiri sana ya kiwango cha Azizi Ki na Pacome

    Usajili wa Chama sikuufurahia. Wachezaji Aziz ki na Pacome, wanacheza Kwa pressure na hofu maana wanaogopa jina la Chama. Walianza wanacheza Kwa bidii ya kupitilia na ku panic kuishia kufanya maamzi ya ovyo na kubutua ovyo. Maana wanataka kumwaminisha Coach kuwa wao ni Bora kuliko Chama...
  2. Labani og

    Ali Kamwe: Mashabiki wengi wa Simba wamfuata chama

    MASHABIKI WA SIMBA WAMFATA CHAMA YANGA "Wengi wanauliza mpaka sasa tumenufaika vipi na utambulisho wa Chama. Mpaka sasa tumepokea taarifa za mashabiki wa upande wa pili ambao wamehamia Yanga akiwemo Baba Kamwe nae amemfuata Chama. Wote waliohama tunawaandalia siku maalumu ya kuwapokea" Ally...
  3. Mkalukungone mwamba

    Ali Kamwe Suala la Usajili wa Chama ni sehemu ya biashara yetu

    Kila mtu anakiri kuwa usajili wa Chama ni usajili mkubwa. Najua wengi wanauliza kwanini hatujamtambulisha Chama na jezi ya Yanga. Mtiririko wa matukio ya usajili huu wa Chama kwetu ni fursa. Najua wengi wanatamani kujua Chama ataonekanaje na jezi ya Yanga. Hapo ndipo tunalenga kuuza usajili huu"...
  4. denoo JG

    Usajili wa Chama kwenda Yanga -Yanga hamueleweki, sijui mna shida gani!

    Salaam Wakuu.. Nashangazwa na hizi kelele za midundiko na kukata viuno tunazopigiwa na wajuaji wa mitaa ya Twiga na Jangwani pale Kariakoo. Hawa wanashangilia leo kumsajili Chama, yule yule ambaye miaka yote walikuwa wakituaminisha ni mchezaji wa mechi ndogo. Ina maana huyu Chawa amegeuka...
  5. KAGAMEE

    Why always Chama? Kama tupo serious mwacheni aende hana jipya tena

    Viongozi wangu wa Simba mwacheni huyo msaliti aondoke,akibaki itakuwa yale yale.Tutapigwa na Uto mpka tuchakae. Huyo anatumiwa na Manara kuuza mechi muhimu.Mwacheni×100.
Back
Top Bottom